Wadau wote, raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wenye sifa wanashauriwa wasome mwongozo na wajaze fomu za maombi zinazopatikana kwenye Mtandao wa
Serikali ya INDONESIA ufuatao :-DARMASISWA INDONESIA SCHOLARSHIP PROGRAM
Fomu za maombi zilizokamilika kujazwa pamoja na viambatisho vilivyoainishwa ziwasilishwe kwenye Ubalozi wa Indonesia hapa Tanzania kabla ya tarehe 24/01/2014.
Katibu Mkuu,
Wizara Ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
S. L. P 9121,
DAR ES SALAA
data-override-format="true" data-page-url = "http://tzjobposition.blogspot.com">
0 Comments:
Post a Comment