Home »
» WATANZANIA WAASWA KUEPUKA UGONJWA WA KISUKARI
Imeelezwa kuwa asilimia 9.1 ya Watanzania wanaugua ugonjwa wa
kisukari hali ambayo huchangia na unywaji wa pombe huvutaji wa sigara,
ulaji wa vyakula usiofaa na kutokufanya mazoezi ya mwili. Hayo yamesemwa
leo na Dk. Omary Ubuguyu kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH)
wakati akitoa semina kwa waandishi wea habari kuhusu ugonjwa huo leo
jijini Dares Salaam. Aliongeza kuwa asilimia ya idadi ya watu 80 hadi
90 wanaugua ugonjwa huo duniani. “ Unywaji wa pombe kuanzia chupa tano
kwa wanaume na chupa 4 kwa wanawake huchangia kusababisha ugonjwa huu,”
alisema Dk. Ubuguyu.
Kwa upande wake Mratibu wa semina hiyo ,kutoka Mradi wa Taifa wa
Kisukari, John Gardner alisema gharama ya matibabu ya ugonjwa huo
ugharimu dola za Marekani milioni 378 ya asilimia 12 ya bajeti ya afya
duniani kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2010, ambapo inaweza kufikia
hadi zaidi dola milioni 400.
data-override-format="true"
data-page-url = "http://tzjobposition.blogspot.com">
|
 |
Akizungumzia kuhusu ugonjwa huo, Dk. Zakharia Ngoma alisema ulaji
usiofaa na mtindo wa maisha huchangia kwa kiasi kikubwa . Hivyo utumiaji wa vya kula vya asili ,vya kuchemsha, mafuta, chumvi na
sukari kidogo , mboga za majani kwa wingi na matunda kila siku ,
pamoja na vyakula vyenye virutubisho vyote husaidia kuepukana na ugonjwa
huu, ” alisema Dk. Ngoma. Aliongeza kuwa hutumiaji wa vyakula vya jamii
ya kunde na visivyokobolewa husaidia kuepuka ugonjwa huu, ikiwemo
kunywa maji kwa wingi na kuepuka msongo wa mawazo.
Related Posts:
Full Undergraduate Scholarships for International Students in Thailand, 2018
The Sirindhorn International Institute of Technology (SIIT),
Thammasat University is offering scholarship opportunities for Excellent
Foreign Students. Scholarship offers the full-tuition fee for students
to purse underg… Read More
Medical Store Department (MSD) (8 Vacancies)
On behalf of the Medical Store Department (MSD) The Capital Markets and Securities
Authority (CMSA) and Institute of Finance Management, President’s Office, Public ServiceRecruitment Secretariat invites qualified Tanzanians… Read More
WARDEN III
3.1.56 LOCATION: KIVUKONI AND ZANZIBAR CAMPUS
3.1.57 DUTIES AND RESPONSIBILITIESi. Counsel and guide students in the halls of residence;ii. Coordinate students’ cultural, recreational and sports activities;iii. Take c… Read More
Gaming Board of Tanzania Jobs (3 Jobs)
Gaming Board of Tanzania is a Government gaming regulatory institution, which was
established under the Gaming Act No. 4 of2003. Its main functions are to oversee, monitor, and regulate the conduct of
gaming activities in T… Read More
Iberdrola International Master’s Scholarship Program in Spain, 2018/19
Iberdrola Foundation is awarding postgraduate scholarships to pursue
master’s studies in Spain for the 2018/19 academic year. Scholarships
are awarded for Spanish, Mexican, Brazilian or US students.
The program has been … Read More
0 Comments:
Post a Comment