Kwa
niaba ya Halmashari ya Jiji nawapongeza wale wote walioshinda usaili
huu na kupata ajira. Nawakaribisha katika utumishi wa kuwahudumia wakazi
wa Jiji la Arusha.
A: NAFASI ZA MTUNZA BOHARI (STOREKEEPER)
Bw. Richard S. Malle S.L.P. 3033 –ARUSHA.
B: NAFASI YA AFISA MANUNUZI MSAIDIZI
1. Bw. Kelvin L. Loiruk S.L.P. 7481- ARUSHA
2. Bi Vinnah Luvinga S.L.P. 456 -DAR ES SALAAM.
C: NAFASI YA AFISA MTENDAJI WA KATA:
1. Hilda B. Malisa S.L.P. 159- ZANZIBAR
2. Isack L. Mollel S.L.P. 2635- ARUSHA
3. Joel K. Israel S.L.P. 4040- ARUSHA
4. Esther Method S.L.P.302-BUKOBA
5. Mikidadi Mwembago - S.L.P. 2022- ARUSHA
6. Christina Johnson - S.L.P. 16202- ARUSHA
7. Ichikaeli Malisa -S.L.P. 16823 – ARUSHA
8. Editha S. Masangia- S.L.P. 813 – USA RIVER
9. Esther Maganza - S.L.P. 13379- DAR ES SALAAM
10.Agness M. Zakaria- S.L.P. 383– BABATI
11. Freedom William - S.L.P. 55- USA RIVER
12.Upendo Mosha – S.L.P. 70 – ARUSHA.
D: NAFASI YA AFISA USALAMA
Washindi wa nafasi hii watatangazwa baada ya zoezi la upekuzi kukamilishwa na vyombo vinavyohusika.
NB:
Kila mmoja anatakiwa kuja na vyeti vyake halisi na Matokeo (Result
Slip) kwa taaluma (Academic) na ujuzi (Professional) kama ilivyotangazwa
katika Tangazo la Ajira.
Imetolewa na.
MKURUGENZI WA JIJI
ARUSHA