MTUNZA TAKWIMU (DATA CLERK) - NAFASI 2, HALMASHAURI YA WILAYA YA BUKOBA, TUMA MAOMBI KABLA YA TAREHE 11 DECEMBER 2017

Kwa wananchi wote , Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba anawatangazia wananchi ote kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba chini ya ufadhili wa MDH wametoa nafasi 2 za kazi za watunza takwimu za UKIMWI katika vito vya kutolea huduma za afya

SIFA ZA MWOMBAJI

- awe na eleimu ya sekondari kidato ccha 4 au 6,

- awe na utaalamu katika masomo ya computer ngazi ya cheti au stashahada au astashahada ya juu

- mwenye uzoefu katika utunzaji wa Takwimu za UKIMWI (nacp, ctc2 database) atakuwa na sifa ya ziada

NAMNA YA KUTUMA MAOMBI

maombi yatumwe 

MKURUGENZI MTENDAJI,

HALMSHAURI YA WILAYA YA BUKOBA,

S.L.P 491

BUKOBA


VIAMBATANISHO

- cheti cha elimu ya sekondari,

- cheti cha kuhudhuria mfunzo ya tajwa hapo juu,

- kivulicha cheti cha utunzaji stoo,

- wasifu wa muhusika. 

 

MUHIMU

wale wote wanaopenda kutuma maomo yao wanashauriwa wawasilishe barua zao za maombi katika ofisi ya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya wILAYA YA Bukoba

 

mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 11 Desemba, 2017

Related Posts:

0 Comments: