NAFASI 7 ZA AFISA MUUGUZI MSAIDIZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU

NAFASI YA KAZI YA MKATABA
 
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Magu kwa kushirikiana na shirika la AGPAHI natatangaza nafasi za ajira ya mkataba wa iezi 9 katika nafasi ya maafisa wauguzi wasaidizi kwenye vituo vya kutolea huduma za tiba
 
NAFASI 7 ZA AFISA MUUGUZI MSAIDIZI 
 
SIFA ZA KUAJIRIWA
- kuajiriwa wahitimu wa kidato cha 4 au 6 wenye stashahada (Diploma) ya uuguzi b=na waliosalijiriwa na baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania
 
MAJUKUMU
- kufanya kazi zote za kiuguzi
- kutambua matatizo ya wagonjwa
- kufanya uchubguzi sahihi wa afya ya mteja/mgonjwa  ili kumsaidia
- kukusanya taarifa muhimu kutoka kwa wagonjwa/mteja ili kutoa  uamuzi sahihi kuhusu afya yake
- kusimamia utakasaji wa vyombo vya tiba
- kutayarisha nursing care plans na kuzitekeleza
- kuwae;ekeza wauguzi walio chini yake
- kutathimini maendeleo ya mgonjwa/ mteja na kutoa taarifa kwa mkuu wake wa kazi 
- kufanya kazi nyingine  atakazo pangiwa naa mkuu wake wa kazi
 
anaweza kupangiwa kazi katika zahanati, ituo cha afya au hospitali ya Wilaya
 
KIWANGO CHA MSHARA
Tshs 600,000/= kwa mwezi 
 
MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI
waombaji wote wanatakiwa kuwa silisha barua zao kwa Mkurugenzi  Mtendaji wakiwa wameambatanisha 
-Vyeti vya taaluma, vyeti vya shule na usajili nk
- picha ndogo ya hivi karibuni
- wasifu wa mwombaji
- mwombaji aandike namba yake ya simu
- barua zote ziandikwe kwa mkono
 
AJIRA
Mwombaji atakaye fanikiwa kupata ataajiriwa mkataba  wa miezi 9 na hutakuwa na subsistance allowance posho ya kujikimu wakati wa kuanza kazi kwa mujibu wa wfadhili wa shirika la AGPAHI
 
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 29/12/2017 saa 9;30 aLASIRI
 
MAOMBI YATUMWE KWA 
 
MKURUGENZI MTENDAJI,
HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU,
S.L.P 200,
MAGU

0 Comments: