Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu kwa kushirikiana na AGPAHI anawatangazia nafasi za ajira kwa makataba wa mwaka mmoja katika nafasi ya DATA CLERK kwenye vituo vya vya kutolea huduma na tiba ya UKIMWI Wilayani CTC
SIFA ZA KUAJIRIWA
- stashahada ya Juu au Shahada ya IT, tWAKWIMU, AU UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU KWA NJIA YA KI ELEKTRONIKI
- awe na uzoefu wa mwaka 1 - 3 katika kkazi za Takwimu (data management)
- awe na uzoefu wa takwimu za afya (Health, Data Experience)
- awe na uzoefu wa kutumia mfumo wa DHIS, EXCEL. MS ACCESS, PEI- INFO, SSP na uzoefu wa mifumo mingine itakuwa sifa ya ziada
LENGO LA AJIRA
Ni kuhakikisha mfumo wa CTC, data base unafanya kazi kwa usahihi ikiwa na pamoja na ubora wa Takwimu
i/ utunzaji wa mfumo wa CTC, data base
ii/ kuhuisha CTC data base
iii/ kuingiza takwimu za wagonjwa kila siku na kutengeneza taarifa na kuwasilisha katika ngazi husika
iv/ kurudisha faili za wagonjwa ambao hazijajazwa kwa mganga (clinical zirekebishwe)
v/ kuhakikisha kila file la mgonjwa linakuwa na fomu ya kuchunguza ugonjwa wa kifua kikuu na magonjwa ya STI na kuhakikisha zinajazwa na mganga kila mgonjwa anapohidhuria kliniki
vi/ kutengeneza mpango kazi wa kuboresha takwiu katika kituo husika katika mfumo wa CTC, data base na katika vyanzo vya Takwimu
vii/ kuhakikisha matumizi sahihi ya mfumo unafanya kazi kila siku, kila waktati, kuhusisha nati virusi kila siku
vii/ kuhakikisha unawasilisiliana na viongozi wako kwa wakati kwaajili ya kukarabati mfumo pindi tatizo linpotokea
KIWANGO CHA MSHAHARA
- Ths 450,000/=
MAHSRTI YA JUMLA
waombaji wote nawanatakiwa kuwasilisha barua zao kwa Mkurugenzi Mtendaji wakiwa wameambatanisha vitu vifuatavyo
- vielelezo vya Taaluma, Vyeti na uzoefu
- picha moja ndogo
- wasifu wa mwombaji
- mwombaji aandike namba ya simu
- barua zote ziandiwe kwa mkono
AJIRA
mwombaji atakaye fanikisha ataajiriwa kwa mkataba wa mwaka mmoja na muda ukiisha atapewa maelekezo kulingana na utendaji wake wa kazi na shirika la AGPAHI
mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 17/11/2017
maombi yatumwe kwa
MKURUGENZI MTENDAJI,
HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU,
S.L.P 200,
MAGU
- stashahada ya Juu au Shahada ya IT, tWAKWIMU, AU UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU KWA NJIA YA KI ELEKTRONIKI
- awe na uzoefu wa mwaka 1 - 3 katika kkazi za Takwimu (data management)
- awe na uzoefu wa takwimu za afya (Health, Data Experience)
- awe na uzoefu wa kutumia mfumo wa DHIS, EXCEL. MS ACCESS, PEI- INFO, SSP na uzoefu wa mifumo mingine itakuwa sifa ya ziada
LENGO LA AJIRA
Ni kuhakikisha mfumo wa CTC, data base unafanya kazi kwa usahihi ikiwa na pamoja na ubora wa Takwimu
i/ utunzaji wa mfumo wa CTC, data base
ii/ kuhuisha CTC data base
iii/ kuingiza takwimu za wagonjwa kila siku na kutengeneza taarifa na kuwasilisha katika ngazi husika
iv/ kurudisha faili za wagonjwa ambao hazijajazwa kwa mganga (clinical zirekebishwe)
v/ kuhakikisha kila file la mgonjwa linakuwa na fomu ya kuchunguza ugonjwa wa kifua kikuu na magonjwa ya STI na kuhakikisha zinajazwa na mganga kila mgonjwa anapohidhuria kliniki
vi/ kutengeneza mpango kazi wa kuboresha takwiu katika kituo husika katika mfumo wa CTC, data base na katika vyanzo vya Takwimu
vii/ kuhakikisha matumizi sahihi ya mfumo unafanya kazi kila siku, kila waktati, kuhusisha nati virusi kila siku
vii/ kuhakikisha unawasilisiliana na viongozi wako kwa wakati kwaajili ya kukarabati mfumo pindi tatizo linpotokea
KIWANGO CHA MSHAHARA
- Ths 450,000/=
MAHSRTI YA JUMLA
waombaji wote nawanatakiwa kuwasilisha barua zao kwa Mkurugenzi Mtendaji wakiwa wameambatanisha vitu vifuatavyo
- vielelezo vya Taaluma, Vyeti na uzoefu
- picha moja ndogo
- wasifu wa mwombaji
- mwombaji aandike namba ya simu
- barua zote ziandiwe kwa mkono
AJIRA
mwombaji atakaye fanikisha ataajiriwa kwa mkataba wa mwaka mmoja na muda ukiisha atapewa maelekezo kulingana na utendaji wake wa kazi na shirika la AGPAHI
mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 17/11/2017
maombi yatumwe kwa
MKURUGENZI MTENDAJI,
HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU,
S.L.P 200,
MAGU